SWALI: Je, naweza kumshtaki raia mwenzangu, polisi ama ofisa anayenibambikizia kesi kwa lengo la kunikomoa na hatimaye nikashtakiwa jinai kwa makusudi na hila japo sikuwa na hatia yoyote?
DENIS MARINGO: Ndiyo waweza. Jambo hili limefafanuliwa mahali pengi na pia katika hukumu ya Festo Dhidi ya Mwakabana (1971) HCD n.417 na ile ya Hosia Lalata Dhidi ya Gibson Zumba Mwasote [1980] TLR 154. Kesi za kubambikiziana ama kukomoana chimbuko lake ni hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Kibwanyenye ya Uingereza (House of Lords) katika shauri maarufu la Herniman v. Smith [1938] A.C. 305
DENIS MARINGO: Ndiyo waweza. Jambo hili limefafanuliwa mahali pengi na pia katika hukumu ya Festo Dhidi ya Mwakabana (1971) HCD n.417 na ile ya Hosia Lalata Dhidi ya Gibson Zumba Mwasote [1980] TLR 154. Kesi za kubambikiziana ama kukomoana chimbuko lake ni hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Kibwanyenye ya Uingereza (House of Lords) katika shauri maarufu la Herniman v. Smith [1938] A.C. 305
No comments:
Post a Comment